Katibu wa NEC Itikadi
na Uenezi Nape Nnauye akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Ndugu Charles
Gishuli .
Katibu wa NEC Itikadi na
Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akisisitiza jambo wakati mkutano na madiwani na
wajumbe wa kamati ya siasa ya wilaya ya Kibondo
Katibu wa NEC Itikadi na
Uenezi Nape Nnauye akizungumza na madiwani wa CCM na Wajumbe wa kamati ya siasa wilaya ya Buhigwe.
Madiwani na Wajumbe wa
kamati ya siasa wilaya ya Buhigwe waliohdhuria kikao kilichoongozwa na Katibu wa
NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.
Katibu wa NEC Itikadi
na Uenezi Nape Nnauye akivishwa skafu alipowasili katika ofisi za CCM wilaya ya
Kibondo.
Katibu wa NEC Itikadi
na Uenezi Nape Nnauye akisaini kitabu cha wageni katika za ofisi za CCM wilaya
ya Kibondo sanjali na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma Dk.Amani
Kaborou.







Post a Comment