![]() |
| Usafiri wa wananchi kati Bukoba na Mwanza huooooo |
![]() |
| Matoke yakipakiwa kwenye Meli kusafirishwa mikoa mingine |
![]() |
| Usafiri wa fastafasta kwa baiskeli upo. |
![]() |
| Kama kawaida senene mwanzo mwisho Bk ndo penyewe. |
![]() |
| Nani kasema Mawese yapo Kigoma pekee hata Bukoba yapo ya kumwaga. |
![]() |
| Chagua mwenyewe bei bwerere. |
![]() |
| Kivuko hicho,mito ya kutosha |
![]() |
| Kama kawa kama dawa |









Post a Comment