Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
na wageni mbalimbali wa ndani na nje ya nchi wakati wa dhifa ya Kitaifa
aliyomwandalia Rais wa Rwanda Paul Kagame Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Rwanda Paul Kagame akizungumza na wageni mbalimbali katika dhifa ya
kitaifa aliyoandaliwa na mwenyeji wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli
Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
na Waziri Mkuu mstaafu Salim Ahmed Salim Ikulu jijini Dar es Salaam
mara baada ya kumalizika kwa dhifa ya kitaifa aliyomwandalia Rais wa
Rwanda Paul Kagame.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
na Rais Mstaafu wa awamu ya pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi Ikulu jijini
Dar es Salaam mara baada ya kumalizika kwa dhifa ya kitaifa
aliyomwandalia Rais wa Rwanda Paul Kagame.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akijadiliana jambo na Mawaziri wakuu wastaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba
na Salim Ahmed Salim Ikulu jijini Dar es Salaam mara baada ya
kumalizika kwa dhifa ya kitaifa aliyomwandalia Rais wa Rwanda Paul
Kagame, Kulia ni mke wa Rais Mama Janeth Magufuli.
Kijana
Omar Abdalah Ramadhan akimsalimia kwa furaha Rais Dkt. John Pombe
Magufuli katika viwanja vya maonesho ya Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Kijana
Omar Abdalah Ramadhan akimsalimia kwa furaha mama Janeth Magufuli mara
baada ya Rais wa Rwanda Paul Kagame kuondoka kwenye viwanja vya maonesho
ya sabasaba jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment