DC Gondwe rasmi ofisini kwake

Mtangazaji mkongwe Godwin Gondwe ni miongoni mwa wakuu wa Wilaya wapya walioteuliwa na Rais Magufuli ambaye mwishoni mwa wiki alikuwa ni miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya nane wa wilaya za mkoa wa Tanga walioapishwa na mkuu wa mkoa huo, Martin Shigela, kushika wadhifa huo.
Gondwe ameteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Handeni na hapa rasmi ameanza kutekeleza majukumu yake
13495301_1026842670733760_2749475014848608034_n
.
13516149_1026842207400473_6121894779098771318_n
.
13435456_1026841477400546_1374006405219847851_n
13557670_1026841917400502_1946866140714881756_n
.
13557676_1026841860733841_3504302852576707063_n

.
13567480_1026843117400382_5163859454991466912_n
.
13567293_1026843074067053_2688152585902801072_n
.
13590228_1026842850733742_2155676313116316571_n
.
13590398_1026842484067112_1792617471443967264_n
.
13590504_1026842294067131_3447681663306351623_n
.
13599852_1026841610733866_1859383303269268075_n
.
13620253_1026841664067194_2102052997560850740_n
DC Gondwe akipokea mchango wa madawati kutoka kwa mwakilishi wa A to Z Company .
13620932_1026841570733870_5882275500979903394_n

Post a Comment

أحدث أقدم