Pages

November 17, 2015

RAIS DK JOHN MAGUFULI ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO UBALOZI WA UFARANSA NCHINI

Rais Dk John Magufuli akitia saini kitabu cha maombolezo katika ofisi za Ubalozi wa Ufaransa nchini kufuatia mauaji ya watu 132 kutoka mataifa mbalimbali yaliyofanywa na magaidi katika mji wa Paris, Ufaransa hivi karibuni. Kulia ni Balozi wa Ufaransa nchini, Malika Berak. Rais Magufuli alisaini kitabo hicho Dar es Salaam leo.
 Rais Dk John Magufuli akitia saini kitabu cha maombolezo katika ofisi za Ubalozi wa Ufaransa nchini kufuatia mauaji ya watu 132 kutoka mataifa mbalimbali yaliyofanywa na magaidi katika mji wa Paris, Ufaransa hivi karibuni.
 Rais Dk John Magufuli akimkabidhi Balozi Ufaransa nchini, Malika Berak  barua ya salamu za maombolezo  baada ya kusaini kitabu cha maombolezo katika ofisi za Ubalozi wa Ufaransa nchini kufuatia mauaji ya watu 132 kutoka mataifa mbalimbali yaliyofanywa na magaidi katika mji wa Paris, Ufaransa hivi karibuni.
 Rais Dk John Magufuli akizungumza na Balozi wa Ufarasa nchini, Malika Berak na kumpa pole.
 Rais Magufuli akiwa na watumishi wa ubalozi huo
Rais Dk Magufuli akiagana na Balozi wa Ufaransa.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...