Mgombea
urais wa Tanzania kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Anna Nghwira
(kulia), na Mgombea nafasi hiyo kupitia Chama cha Alliance for
Democratic Change (ADC), Chifu Litayosa Yemba wakijibu maswali
mbalimbali katika mdahalo wa wagombea urais ulioandaliwa na Taasisi ya
Twaweza Dar es Salaam . Hata hivyo wagembea nafasi hiyo kupitia Chama
Cha Mapinduzi (CCM), Dk.John Magufuli na Edward Lowassa kupitia Chadema
hawakuweza kuhudhuria kwa sababu mbalimbali.
Waongozaji wa mdahalo huo wakiwa kazini.
Wadau wakiwa kwenye mdahalo huo.
Raia wa kigeni na wadau wengine wakifuatilia mdahalo huo.
Mdahalo ukiendelea.
Vijana wakiwa kwenye mdahalo huo.

إرسال تعليق