Pages

March 27, 2015

TUME YA USHINDANI NCHINI(FCC)YAKAMATA SIMU FEKI NA VIFAA MBALIMBALI VYENYE THAMANI YA SH 200 MILIONI ARUSHA

Afisa Mkaguzi wa Tume ya Ushindani(FCC)Michael David akizungumza na waandishi wa habari kwenye Kituo cha Polisi jijini Arusha baada ya kufanikiwa kukamata Simu bandia 215 za mikononi na vifaa vingine vyenye jina la Samsung wakati sio halisi.Vifaa vitateketezwa kwenye Dampo Kuu la Muriet nje kidogo ya jiji la Arusha.


Baadhi ya Simu,Chaja na mifuniko yenye nembo ya kampuni ya Samsung vilikamatwa kwenye maduka mbalimbali jijini Arusha.

Afisa Mkaguzi wa Tume ya Ushindani(FCC)Michael David akionesha moja ya bidhaa bandia zilizokamatwa leo.Amewataka wananchi kununua bidhaa halisi kwa Mawakala waliohidhinishwa ili kuepuka madhara ya kiafya.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...