Pages

March 1, 2015

KILI MARATHON;FABIOLA WILLIAM ANG'ARA KM 45 MJINI MOSHI LEO

Wanariadha wakianza kutimua mbio za Kili Marathon kilometa 42 zilizoanzia na kumalizika kwenye uwanja wa Chuo cha ushirika Moshi

Wanariadha wakianza kutimua mbio za Tigo Kili Half Marathon kilometa 21 zilizoanzia na kumalizika kwenye uwanja wa Chuo cha ushirika Moshi

Meneja wa Kampuni ya Simu za mikononi ya Tigo,Cecile (wa pili kulia)Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kaskazini,David Charles wakipata picha na wadau walioshiriki mbio hizo. 

Wanariadha kutoka mataifa mbalimbali wakiwa tayari kukimbiza upepo

Ni mbio tu mchuano mkali kuelekea barabara ya Ushirika wa Neema

Mtanzania Fabiola William aliyeibuka mshindi wa kwanza Kili Marathon wanawake  akimaliza mbio zake na kujinyakulia kitita cha Sh milioni 4


Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama akimkabidhi zawadi mshindi wa kwanza wa wa mbio za Tigo Kili Half Marathon wanawake Grace Kimanzi zawadi ya shilingi milioni mbili kutoka kwa Tigo wadhamini wa mbio hizo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...