| Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Tarangire,Stephano Qolli(wa pili kushoto)akitoa maelezo kwa Ujumbe wa Chama cha Wabunge wa Jumuiya Madola(CPA)waliotembelea Hifadhi hiyo leo. |
| Mjumbe wa Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya Madola tawi la Tanzania(CPA)Mh.Beatrice Shelukindo akizungumza jambo. |
![]() |
| Meneja Uhusiano wa Mamlaka ya Hifadhi ya Taifa(Tanapa)akitoa ufafanuzi kwa Wajumbe wa Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya Madola(CPA)tawi la Tanzania waliotembelea Hifadhi ya Taifa ya Tarangire leo. |
| Tembo ni wanyama maarufu katika Hifadhi ya Taifa Tarangire |
| Pundamilia nao huongeza uzuri wa Hifadhi ya Taifa ya Tarangire |


إرسال تعليق