Pages

November 27, 2013

PICHA 8 ZA MUONEKANO WA VISIWA VYA UNGUJA

Mwonekano wa nyumba zilizojengwa kwa kufuata utamaduni wa Urabuni ambao ni kivutio kikubwa kwa wageni wanaotembelea visiwa vya Zanzibar.

Angalia mjengo huu katika Makumbusho ya Amani barabara ya Mnazimmoja.

Usafiri wenye bendera ya Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC)ukisubiri watalii kuwapeleka Visiwa vidogo vilivyomo ndani ya Bahari ya Hindi .

Mjengo kama huo utaukuta Zenji tuu.

Kanisa la kwanza kujengwa Afrika Mashariki ni la Anglikana St Monica.

Mtalii akichukua taswira zinazoonesha Soko la utumwa Zanzibar miaka mingi iliyopita.

Viunga vya Zenji kama vinavyoonekana 

Mjengo wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...