![]() |
Mwonekano wa nyumba zilizojengwa kwa kufuata utamaduni wa Urabuni ambao ni kivutio kikubwa kwa wageni wanaotembelea visiwa vya Zanzibar. |
![]() |
Angalia mjengo huu katika Makumbusho ya Amani barabara ya Mnazimmoja. |
![]() |
Usafiri wenye bendera ya Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC)ukisubiri watalii kuwapeleka Visiwa vidogo vilivyomo ndani ya Bahari ya Hindi . |
![]() |
Mjengo kama huo utaukuta Zenji tuu. |
![]() |
Kanisa la kwanza kujengwa Afrika Mashariki ni la Anglikana St Monica. |
![]() |
Mtalii akichukua taswira zinazoonesha Soko la utumwa Zanzibar miaka mingi iliyopita. |
![]() |
Viunga vya Zenji kama vinavyoonekana |
![]() |
Mjengo wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar. |
Post a Comment