MBUNGE WA KASULU MJINI ALAZWA HOSPITALINI BAABA YA KUVAMIWA NA VIJANA DODOMA


Mbunge wa Kasulu Mjini (NCCR), Moses Machali akiwa amelazwa kwenye wodi maalumu katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Dodoma kwa ajili ya kupatiwa matibabu baada ya kuvamiwa na vibaka jana usiku eneo la Area E mjini humo na kumjeruhi.

Post a Comment

Previous Post Next Post