Pages

June 20, 2013

MBOWE NA LEMA WAJISALIMISHA NA KUHOJIWA LEO,WADAI RAIS AUNDE TUME HURU YA KIMAHAKAMA

Mwenyekiti wa Chadema,Freeman Mbowe na Mbunge wa Arusha mjini,Godbless Lema wakitoka  kwenye kituo kikuu cha polisi mkoa wa Arusha baada ya kujisalimisha na kuhojiwa kushoto ni wakili wao Albert Msando na kulia ni mbunge wa Musoma Mjini,Vincent Nyerere

Mwenyekiti wa Chadema,Freeman Mbowe akizungumza na waandishi wa habari kwenye kituo kikuu cha polisi mkoa wa Arusha baada ya kujisalimisha na kuhojiwa yeye na Mbunge wa Arusha mjini,Godbless Lema

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...