Pages

June 20, 2013

IBADA YA MAZISHI YA JUDITH MOSHI YAFANYIKA LEO,WABUNGE NA VIONGOZI WA CHADEMA WAHUDHURIA

Viongozi wa Chadema wakiongozwa na Mwenyekiti wao,Freeman Mbowe wakiwa kwenye ibada katika Kanisa la KKKT Usharika wa Sokon One jijini Arusha

Wabunge wa Chadema,Grace Kiwelu na Godbless Lema wa Arusha mjini wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa marehemu Judith Moshi
Wananchi wakitoa heshima za mwisho

Waombolezaji wakiwa na maua
Wananchi wakitoa heshima za mwisho kanisani

Viongozi wa Chadema wakiongozwa na Mwenyekiti wao,Freeman Mbowe na wananchi wakiwa kwenye ibada ya maziko

Mchungaji Isack Kisiri akiongoza ibada ya mazishi
Picha ya marehemu Judith Moshi wakati wa uhai wake

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...