Home PICHA NNE ZA DHAMANA YA MBUNGE WA ARUSHA MJINI,GODBLESS LEMA rweyemamuinfo.blogspot.com 7:09 PM 0 Mbunge wa jimbo la Arusha Mjini,Godbless Lema akiwapungia wafuasi wake baada ya kuachiwa kwa dhamana Mahakama Kuu. Lema akiwa na wafuasi wake Viongozi waandamizi wa Chadema waliofika Mahakamani kusikiliza kesi ya Mbunge wa Lema. Shamrashamra za wafuasi wa Chadema
Post a Comment