Pages

March 15, 2016

PICHA 15 kutokea Ikulu Dar, Rais Magufuli kawaambia wakuu wapya wa Mikoa waamue kukubali au kuukataa uongozi

March 13 2016, Rais John Pombe Magufuli aliwateua wakuu wapya wa Mikoa 26 Tanzania bara,  ambapo kati yao 13 ni wapya, 7 wamebakizwakatika vituo vyao vya kazi, 5 wamehamishwa vituo vya kazi na 1 amepangiwa Mkoa Mpya wa Songwe. Leo March 15 2016 Ndio siku wakuu hao wamefika Ikulu Dar es salaam na kula viapo vya utii mbele ya Rais Magufuli.
AW1A8143
Anne Malecela, Paul Makonda na John Malecela
AW1A8157
Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe. Seleman Said Jaffo
AW1A8163
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda na Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Ernest Mangu
AW1A8165
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora Mhe. Anjella Kairuki
AW1A8175
Said Meck Sadiki
AW1A8176
.
AW1A8196
Rais John Pombe Magufuli kabla ya kuanza kuwaapisha wakuu wapya wa Mikoa
AW1A8200
Rais Magufuli akimuapisha Anne Malecela
AW1A8205
AW1A8206
Rais Magufuli akimuapisha Mkuu wa mkoa Dae es salaam Paul Makonda
AW1A8227
Rais Magufuli katika picha ya pamoja na baadhi ya Mawaziri na Makamu wa Rais
AW1A8232
Baadhi ya Wakuu wa Mikoa wakisaini hati za Viapo
AW1A8253
Wakuu wa Mikoa wakila viapo kwa sauti
AW1A8265
Makamu wa Rais Samia Suluhu akiongea na Wakuu wa Mikoa
vlcsnap-2016-03-15-12h12m08s164
Rais Magufuli katika picha ya pamoja na Wakuu wapya wa Mikoa

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...