March 13 2016, Rais John Pombe Magufuli aliwateua wakuu wapya wa Mikoa 26 Tanzania bara, ambapo kati yao 13 ni wapya, 7 wamebakizwakatika vituo vyao vya kazi, 5 wamehamishwa
vituo vya kazi na 1 amepangiwa Mkoa Mpya wa Songwe. Leo March 15 2016
Ndio siku wakuu hao wamefika Ikulu Dar es salaam na kula viapo vya utii
mbele ya Rais Magufuli.
Anne Malecela, Paul Makonda na John Malecela
Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe. Seleman Said Jaffo
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda na Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Ernest Mangu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora Mhe. Anjella Kairuki
Said Meck Sadiki
.
Rais John Pombe Magufuli kabla ya kuanza kuwaapisha wakuu wapya wa Mikoa
Rais Magufuli akimuapisha Anne Malecela
Rais Magufuli akimuapisha Mkuu wa mkoa Dae es salaam Paul Makonda
Rais Magufuli katika picha ya pamoja na baadhi ya Mawaziri na Makamu wa Rais
Baadhi ya Wakuu wa Mikoa wakisaini hati za Viapo
Wakuu wa Mikoa wakila viapo kwa sauti
Makamu wa Rais Samia Suluhu akiongea na Wakuu wa Mikoa
Rais Magufuli katika picha ya pamoja na Wakuu wapya wa Mikoa
No comments:
Post a Comment