Wahudumu wapatao saba na abiria wawili akiwemo mtu mzima mmoja wa umri wa miaka 60 na mwingine wa miaka 40 inaaminika walijisikia kupoteza fahamu wakiwa washasafiri maili 1,600 kati ya safari ya maili 5,500.
Abiria waliochanganyikiwa kwa hofu walioamba wapate kutibiwa na madaktari ndipo rubani wa ndege ya shirika la American Airlines, kuamua kutua kwa dharura kwa kurejea Jijini London katika uwanja wa Haethrow
No comments:
Post a Comment