Waziri mkuu mstaafu na aliyekua Mgombea urais wa Chadema,Edward Lowassa akimnadi mgombea Ubunge wa chama hicho jimbo la Arusha Mjini,Godbless Lema kwenye uwanja wa Shule ya Msingi Ngarenaro. |
Mgombea ubunge jimbo la Arusha mjini akiwahutubia wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Shule ya Msingi Ngarenaro,uchaguzi unafanyika kesho desemba 13. |
No comments:
Post a Comment