Pages

July 27, 2013

KOREA KASKAZINI YASHEREKEA MIAKA 60 YA KUKOMA VITA BAINA YAKE NA KUSINI KWA KUWAONESHA UWEZO WAO KIJESHI

Askari wa kike wakionesha ukakamavu wao.
Kiongozi wa Korea ya Kusini,Kim Jong Un(kulia)akiwa na Makamu wake wa Rais na Makamu wa rais wa Zambia wakati wa gwaride la heshima likipita mbele yake mjini Pyongyong.

Zana ya kurusha makombora ya masafa ya mbali.

Zana za kazi na gwaride la kutimiza miaka 60.

Hureeeeeeeeeeeeeeh

Hawa ni raia wakionesha uzalendo wao wakiwa wameshika bendera ya nchi yao.

Wapiganaji wastaafu wakimuunga mkono Kiongozi wao,Kim Jong Un.

Halaiki ya Wakorea ilivyokolea

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...