Pages

June 21, 2013

MBUNGE WA KASULU MJINI ALAZWA HOSPITALINI BAABA YA KUVAMIWA NA VIJANA DODOMA


Mbunge wa Kasulu Mjini (NCCR), Moses Machali akiwa amelazwa kwenye wodi maalumu katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Dodoma kwa ajili ya kupatiwa matibabu baada ya kuvamiwa na vibaka jana usiku eneo la Area E mjini humo na kumjeruhi.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...