NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA NDG: RODRICK MPOGORO AFUNGUA MAFUNZO ELEKEZI KWA MAKATIBU WA UVCCM

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi ndg; Rodrick Mpogoro akifungua Mafunzo elekezi kwa makatibu wa umoja wa Vijana wa CCM mikoa ya Tanzania bara na Visiwani katika ukumbi wa kamati kuu ofisi ndogo ya  Lumumba Dar es salaam.
 Mwenyekiti wa umoja wa Vijana na mjumbe wa kamati kuu  ya Chama Cha Mapinduzi,Sadifa Juma Khamisi akizungumza katika mafunzo elekezi kwa makatibu wa umoja wa Vijana wa CCM mikoa ya Tanzania bara na Visiwani katika ukumbi wa kamati kuu ofisi ndogo ya Lumumba Dar es salaam
 Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi, Shaka Hamdu Shaka akizungumza katika mafunzo elekezi



washiriki wa mafunzo elekezi wakifuatilia mafunzo
Mshiriki Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Kilimanjaro ndg; abdulrahim hamid akiuliza swali wakati wa Mafunzo elekezi kwa makatibu wa umoja wa Vijana wa CCM mikoa ya Tanzania bara na Visiwani katika ukumbi wa kamati kuu.(PICHA ZOTE NA FAHADI SIRAJI)

Post a Comment

أحدث أقدم