Pages

June 29, 2016

TUNDU LISSU AFUTIWA MASHTAKA MAWILI

 
Dar es Salaam. Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amefutiwa mashtaka mawili na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutokana na kushindwa kukidhi matakwa ya kisheria.

Lissu alipandishwa jana na kusomewa mashtaka ya uchochezi, huku akiunganishwa na wenzake watatu.

Mashtaka yaliyofutwa ni la kwanza na la tatu, kwa kile kilichodaiwa kuwa yalipaswa kuambatana na hati ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP)

Uamuzi huo ulitolewa jana na Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Thomas Simba baada ya kupitia hoja za upande wa mashtaka na utetezi.MWANANCHI

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...