PICHA 7: Kitwanga alivyokabidhi ofisi kwa Waziri wa mambo ya ndani Mwigulu Nchemba
Waziri wa
Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amekabidhiwa ofisi rasmi na
aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo, Charles Kitwanga kwenye ofisi ya
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, jijini Dar es salaam leo.
No comments:
Post a Comment