
Kwa mara ya kwanza March 13, 2016 Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Vicent Mashinji ameonekana rasmi kwa wakazi wa Mwanza kwenye uwanja wa furahisha, viongozi wa kitaifa wa Chadema pamoja na baadhi ya Wabunge kutoka Chadema walikuwepo kuushuhudia utambulisho rasmi wa Katibu Mkuu wao kwa wananchi. ripota wamillardayo.com kazipata picha kwenye huo utambulisho karibu kuzitazama.


Mwenyekiti Chadema Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Vicent Mashinji

Aliyekuwa mgombea Urais Edward Lowassa

Kutoka kulia Makamu Mwenyekiti Chadema Zanzibar Said Issa Mohamed, Mh Edward Lowassa na Tundu Lissu



Mbunge wa Mikumi Joseph Haule

Mbunge wa Bunda Ester Bulaya

Katibu Mkuu wa Chadema Vicent Mashinji na Ezekia Wenje


Godbless Lema Mbunge wa Arusha mjini

Joseph Mbilinyi Mbunge wa Mbeya mjini, kwenye Burudani

Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari


Mh Mbowe na Ezekia Wenje

Mh Edward Lowassa, Akazungumza na wakazi wa Mwanza

Joseph Haule ( Prof. Jay), akasema na watu wake kwa Burudani





Viongozi wa Chadema Kitaifa


Post a Comment