Pages

November 14, 2015

ZOEZI LA USAJILI WA WABUNGE LAANZA MJINI DODOMA.

Maafisa wa Bunge wakipokea nyaraka toka kwa wabunge wateule katika zoezi lililoanza  Mjini Dodoma 
Wabunge wateule wakipiga picha kwa ajili ya vitambulisho vitakavyotumika kwa ajili ya matumizi ya Bunge  Mjini Dodoma 
Mbunge wa Jimbo la Mwanga Mkoani Kilimanjaro Mh. Jumanne Maghembe akikabidhi nyaraka zake wakati wa zoezi la usajili linaloendelea  Mjini Dodoma. 
Mbunge wa Jimbo la Sengerema Willium Ngeleja akisajili kwa Afisa wa bunge 
Maafisa wa benki wakiwapa maelezo wabunge wakati wa zoezi la usajili linaloendelea Mjini Dodoma 


Maafisa wa Bunge wakimkabidhi nyaraka Moja ya Mbunge wakati wa Zoezi la Usajili  Mjini Dodoma

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...