| Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Mahmoud Kambona
akizungumza wakati akifungua kongamano la uhamasishaji wa mpango wa bima ya
afya wa kikoa kwa wajasiriamali na vikundi vilivyosajiliwa Mji mdogo wa
Mirerani, (kushoto) ni Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Nchini (NHIF) wa mkoa
huo, Isaya Shekifu na kulia ni Ofisa Tarafa ya Moipo Joseph Mtataiko. |
إرسال تعليق