Mhe. Katibu Mkuu Balozi Liberata Mulamula akisalimiana na watumishi wa Ubalozi wa Tanzania Washington DC mara baada ya kuwasili Ubalozi. ( TANZANIA HOUSE).
Mhe. Katibu Mkuu akiwa katika kikao na wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania, Washington D.C
Mhe. Katibu Mkuu akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa wa Ubalozi wa Tanzania Washington DC.
PICHA ZOTE KWA HISANI YA CAMERA YA UBALOZI

إرسال تعليق