Pages

August 20, 2015

Dkt John Pombe Magufuli alipotambulishwa kwa wazee wa Dar es salaam ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam

 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Makamu wa Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg Philip Mangula alipowasili kwenye hafla ya kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Jumatano .
  Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salam Mhe Saidi Meck Sadick alipowasili kwenye hafla ya kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Jumatano.
  Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es salaam Suleiman Kova  alipowasili kwenye hafla ya kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam.
  Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli 
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mgombea mwenza Mhe Samia Suluhu Hassan  
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa UWT Mhe Sophia Simba
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mama Masaburi
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wana CCM
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mkereketwa wa CCM
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wakereketwa wa CCM
  Sehemu ya umati wa maelfu ya wananchi wa Dar es salaam kwenye hafla ya kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Jumatano Agosti 19, 2015
 Kila mtu alikuwa na kamera yake ya simu kurekodi hafla ya kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Jumatano .
 Wabunge watarajiwa wa Dar es salaam 
 Sehemu ya umati

 Sehemu ya umati

 Sehemu ya umati

 Nyomi ya wana CCM wa Dar es salaam
 Nyomi ya wana CCM wa Dar es salaam
 Nyomi ya wana CCM wa Dar es salaam
 Nyomi ya wana CCM wa Dar es salaam

 Nyomi ya wana CCM wa Dar es salaam
 Nyomi ya wana CCM wa Dar es salaam
 Nyomi ya wana CCM wa Dar es salaam
 Wanahabari kazini
 Mwenyekiti wa Wenyeviti wa CCM Ndg Ramadhani Madabida akisalimia umati
  
  Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea
 Msanii nyota wa Bongo Fleva Inspekta Haroun alikuwepo pia

 Wana CCM kila pembe ya ukumbi
 Diwani Kitwana Manara Popat na wajumbe wenzie
  Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiendelea kuongea
  Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisisitiza jambo
  
 Mgombea mwenza Mhe Samia Suluhu Hassan akisalima wananchi
 Pongezi kwa Mgombea mwenza Mhe Samia Suluhu Hassan 
 JK akimualika Dkt Magufuli
 Mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akisalimia umati
 Mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiongea
 Mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akisalimia umati
 Meza kuu
  
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Dkt Magufuli  na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana 
 Mwenyekiti wa wazee wa Dar es salaam akiongea 


 Mwenyekiti wa wazee wa Dar es salaam akipongezwa na Dkt Magufuli
 Mwenyekiti wa wazee wa Dar es salaam akipongezwa na mgombea mwenza Mhe Samia Suluhu Hassan
 Meza kuu

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...