![]() |
| Mkurugenzi Mkazi waUmoja wa Mataifa(UN)Alvaro Rodriguez akihutubia katika Maadhimisho ya Siku ya wenye Ualbino yaliyofanyika leo kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha. |
![]() |
| Mkurugenzi Mkazi waUmoja wa Mataifa(UN)Alvaro Rodriguez akihutubia katika Maadhimisho ya Siku ya wenye Ualbino yaliyofanyika leo kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha. |
![]() |
| Balozi wa Canada hapa nchini,Alexandre Leveque akihutubia katika Maadhimisho ya Siku ya wenye Ualbino yaliyofanyika leo kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha. |
![]() |
| Mwenyekiti wa wenye ulemavu wa ngozi nchini(TAS)Ernest Kimaya akitoa nasaha zake. |
![]() |
| Naibu Waziri wa Afya,Dk Kebwe Stiven Kebwa akitoa nasaha zake. |
![]() |
| Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk Jakaya Kikwete akiwapongeza watoto wenye Ualbino wanaofadhiliwa na USAID chini ya mpango wa Pamoja Tuwalee. |
![]() |
| Baadhi ya watu wenye ulemavu wakiwa kwenye maandamano leo. |
![]() |
| Baadhi ya watu wenye ulemavu wakiwa kwenye maandamano leo. |
![]() |
| Baadhi ya watu wenye ulemavu wakiwa kwenye maandamano leo. |














Post a Comment