RAIS WA UJERUMANI AVUTIWA NA UTENDAJI KAZI WA MAKAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU-ARUSHA
Rais
wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu(AfCHPR)yenye makao yake jijini Arusha,Jaji Augustino
Ramadhani akitoa hotuba yake fupi mbele ya Rais wa Shirikisho la
Ujerumani,Mheshimiwa Joachim Gauck leo.
Rais wa shirikisho la Ujerumani,Joachim Gauck akizungumza na wafanyakazi wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu(AfCHPR)
Balozi
wa Tanzania nchini Ujerumani,Philipo Sanka
Marmo(katikati)akibadilishana mawazo na Afisa Habari Mwandamizi wa
Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu(AfCHPR)Sukhdev Chatbar(shoto)
na Mwandishi wa habari wa gazeti la The Citizen,Zephania Ubwani.
No comments:
Post a Comment