Pages

January 18, 2015

KAGERA SUGAR YATUNGULIWA BAO 1-0 NA MBEYA CITY CCM KIRUMBA JIJINI MWANZA.

Timu zikiingia Uwanjani CCM Kirumba Jijini Mwanza, Tayari kwa mpambano wa Ligi kuu Vodacom Kati ya wenyeji Kagera Sugar vs Mbeya City.
Waamuzi wa Mtanange Timu Kepteni walipata picha ya Pamoja.
Kikosi cha Mbeya City juu na chini hapa ni Kagera Sugar wakiomba dua


Kocha wa Mbeya City akipongezana na Kipa wake leo baada ya mpira kumalizika kwa Ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ya Kagera Sugar Mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa CCM-Kirumba Jijini Mwanza. Bao la pekee la Ushindi la Mbaya City lilifungwa dakika ya 84 na Peter Mapunda baada ya kuwatoka mabeki wa Kagera na kufunga bao hilo ambalo kiujumla lilisababishwa na kujisahau kwa mabeki wa Kagera Sugar.
Picha na Faustine Ruta, Mwanza.Mashabiki wa Mbeya City kutoka Jijini Mbeya akiipamba timu yao.
Tawira ya Mashabiki kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza, Mbeya City wameifunga Kagera Sugar, wanaotumia Uwanja huo kwa Mechi za Nyumbani baada Kaitaba kufungwa kwa ukarabati, Bao 1-0 kwa Bao la Dakika ya 84 la Peter Mapunda.
Mashabiki wa Mbeya City waliokuja kutoka Jiji la Mbeya kuja Mwanza kuwapa sapoti wenzao
Benchi la Kagera Sugar
Benchi la Mbeya City
Kocha wa Mbeya City Juma Mwambusi akiangalia Vijana wake kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.

No comments:

Post a Comment