MLIPUKO WA MABOMU WATIKISA TENA ARUSHA KWENYE MGAHAWA.


Askari wakichunguza mlipuko

Kaimu Mganga Mkuu wa hospitali ya Selian akizungumza na waandishi wa habari

Mgonjwa akipatiwa matibabu


Hali ya usalama imezidi kuwa tete katika Jiji la Arusha kufuatia mfululizo wa matukio ya raia kujeruhiwa kwa kinachoaminiwa kuwa mabomu ya kurusha kwa mkono baada ya jana usiku kutokea mlipuka katika mgahawa wa Kihindi ujulikanao kama Vama Traditional Indian Cuisine eneo la Gymkana

.

Post a Comment

Previous Post Next Post