Pages

August 19, 2013

MABOMU YARINDIMA MWANZA,CHADEMA WASHINDWA KUFIKA KWA RC-NDIKILO


Mbunge wa Ilemala mkoa wa Mwanza akiwa na wafuasi wake wakitoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa kumwomba apokee maandamano yaliandaliwa na Chadema kupinga uhalali wa Meya wa halmashauri ya Ilemela.



Polisi wakiwa wameimarisha usalama kwenye ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Mwanza wakati Mbunge wa Ilemera,Hyness Kiwia akitoka kuonana na Mkuu wa Mkoa,Evarist Ndikilo 


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...