BREAKING NEWS: MAJAMBAZI WALIOVALIA SARE YA JESHI LA POLISI HABIB AFRICAN BANK JIJINI DAR ES SALAAM.


WATU wanaodhaniwa kuwa ni Majambazi wamevalia sare za Jeshi la Polisi wamevamia Habib Afriican Ban
k Kariakoo DSM na kupora kiasi kikubwa cha Fedha. 

Jeshi la polisi kanda maalum wamethibitisha kutokea kwa tukio hilo. Endelea kufuatilia taarifa zetu za habari. chanzo ITV

Post a Comment

أحدث أقدم