![]() |
| Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC)Dk Richard Sezibera akizungumza katika maadhimisho |
![]() |
| Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC)Dk Richard Sezibera akiwa amempakata Moria,mtoto wa hayati Daudi Mwangosi aliyeuawa na mkoani Iringa,kushoto ni mjane wa Mwangosi |
![]() |
| Rais wa Umoja wa Vilabu vya waandishi wa habari nchini(UTPC)Aboubakar Kasan(kushoto)akiwa na mjane wa daudi Mwangosi |
![]() |
| Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC)Richard Owora akibadilishana mawazo viongozi mbalimbali wa tasnia ya habari nchini |
![]() |
| Wadau wa sekta ya habari kutoka shoto ni Claud Gwandu,Rais wa UTPC,Kenneth Simbeye na Mjumbe wa MCT,Allan Lawa |
![]() |
| Waandishi wa habari wakongwe wakijadili jambo |
![]() |
| Mkuu wa mkoa wa Arusha,Magesa Mulongo(shoto)Balozi wa Sweden nchini Lennarth Hjelmaker na Mkuu wa wilaya ya Arumeru,Nyirembe Munasa wakifurahia jambo |
![]() |
| Mkuu
wa mkoa wa Arusha,Magesa Mulongo(shoto)akifurahia jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Deus Kibamba na Mkuu wa wilaya ya Arumeru,Nyirembe Munasa wakifurahia jambo |
![]() |
| Mwandishi wa habari wa The Citizen mkoa wa Arusha,Zephania Ubwani(shoto)Makwaiya wa Kuhenga wakisalimiana |
![]() |
| Waandishi wakongwe |
![]() |
| Waandishi wakifatilia mada |
![]() |
| Wadau wa habari wakifatilia kwa makini |
![]() |
| Dk Sezibera akihutubia |
![]() |
| Burudani iliyowatoa wajumbe machozi |





















إرسال تعليق