Pages

May 14, 2013

Kenya: Maandamano ya kupinga nyongeza ya Mishahara kwa wabunge

Nchini Kenya hii leo tarehe 14.05.2013 kunafanyika maandamano ya amani ya kupinga nyongeza ya mishahara ya wabunge.
Wabunge nchini Kenya wadai nyongeza ya mshahara
Wabunge nchini humo wanataka tume inayoshughulikia mishahara ya watumishi wa umma iongeze mishahara yao kutoka elfu 532,000 hadi 850,000. Wabunge hao wa Kenya wanasema kima walichoekewa ni kidogo sana kukidhi mahitaji yao.
Hata hivyo tume hiyo imesema haitabadilisha msimamo wake huku ikitupilia mbali vitisho kutoka kwa wabunge hao waliosema wataifuta kazi tume hiyo iwapo matakwa yao hayataridhiwa.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...