Pages

November 15, 2013

WAANDISHI WATUNUKIWA VYETI VYA UANDISHI HABARI ZA USALAMA NA AMANI

Waziri wa Afrika Mashariki wa Burundi, Leontine  Nzeyimana ambaye alikua mgeni rasmi katika hafla ya chakula cha jioni iliyofanyika katika Hotel Club du  Luc Tanganyika jiji la Bujumbura,Burundi 

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Burundi,Leontine Nzeyimana akimkabidhi cheti mshiriki wa mafunzo ya kuripoti habari za Amani na Usalama,Mhariri wa Citizen TV ya Kenya,John Kimeli

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Burundi,Leontine Nzeyimana akimkabidhi cheti mshiriki wa mafunzo ya kuripoti habari zenye migogoro,Mwandishi wa Gazeti la News Times,James Karuhunga
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Burundi,Leontine Nzeyimana akimkabidhi cheti mshiriki wa mafunzo ya kuripoti habari za Migogoro bila kuchochea vurugu Mwandishi wa gazeti la Mwananchi mkoani Arusha,Filbert Rweyemamu

Kikundi cha Ngoma kutoka nchi ya Rwanda kikitumbuiza katika hafla hiyo na kuwafanya waliohudhuria kuinuka kwenye viti vyako.

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Burundi,Leontine Nzeyimana akimkabidhi cheti mshiriki wa mafunzo ya kuripoti habari za Migogoro bila kuchochea vurugu Mwandishi mkongwe wa Shirika la Habari la EANA,Barthazar Ndiwayezu
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Burundi,Leontine Nzeyimana akimkabidhi cheti mshiriki wa mafunzo ya kuripoti habari za Migogoro bila kuchochea vurugu Mwandishi wa Shirika la habari la Ujerumani mjini Kampala Leila Ndinda

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...