Baada ya mlipuko majeruhi wakiokolewa |
![]() |
Majeruhi wakipelekwa hospitali |
![]() |
Askari wakilinda usalama kwenye eneo la tukio Olasiti |
![]() |
Mabaki ya viatu huku Polisi wakianza kuchunguza mlipuko |
![]() |
Jengo la Kanisa Jipya lililokuwa lizinduliwe leo |
![]() |
Padri na Mtawa ambao hawakufahamika majina yao mara moja wakiwa hawaamini kilichotokea |
![]() |
Balozi wa Vatican nchini,Askofu Mkuu Fransis akiondolewa kwenye eneo la Kanisa hilo kwa usalama wake |
![]() |
Balozi wa Vatican hapa nchini,Askofu Mkuu Fransis akiingia kwenye gari kuondoka |
![]() |
Majeruhi |
![]() |
majeruhi mwingine |
![]() |
Mtoto nae alikuwa miongoni mwa walioathirika |
![]() |
Majeruhi alionekana kusaidiwa muda wote |
![]() |
Mama huyu akiugulia maumivu |
![]() |
Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha,Liberatus Sabas akizungumza na waandishi wa habari kuwa mtuhumiwa mmoja anashikiliwa kwa mahojiano kufuatia tukio hilo |
![]() |
Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Magesa Mulongo akizungumzia tukio hilo na hatua za kusaidia majeruhi |
![]() |
Mbunge wa Arusha Mjini,Godbless Lema na Mbunge wa Arumeru Mashariki wakiwasili eneo la tukio Olasiti |
![]() |
Padri Festus Mangwangi |
![]() |
Wananchi waliojitokeza kushuhudia |
![]() |
Mbunge wa Arumeru Mashariki,Joshua Nassari(kushoto)na Mbunge wa Arusha Mjini,Godbless Lema wakimfariji majeruhi |
No comments:
Post a Comment