![]() |
| Wafanyakazi wa Tanapa wakishusha misaada waliyoleta kwenye ofisi ya Mtendaji |
![]() |
| Misaada ikiteremshwa kwa wingi kwenye ofisi ya Mtendaji wa Kata Shambarai |
![]() |
| Magunia ya unga |
![]() |
| Afisa Uhusiano wa Tanapa,Catherine Mbena akitoa salamu za Mkurugenzi Mkuu wa Tanapa Allan Kijazi kabla ya kutoa misaada |
![]() |
| Diwani wa Kata ya Shambarai,Allais Mbarnot(kushoto)akimuaga mwandishi mkongwe wa gazeti la Habri Leo mkoa wa Arusha,John Mhala |







Post a Comment