Pages

May 17, 2018

WAZIRI DKT. MWAKYEMBE AZINDUA COPA UMISSETA MJINI BUKOBA

 Waziri Mwakyembe akigawa vifaa vilivyotolewa na Coca-Cola kwa moja ya mwakilishi wa mmoja wa shule za sekondari.
 Waziri Mwakyembe akikagua moja ya timu wakati wa hafla ya uzinduzi.
 Wadau wa Umisseta katika picha ya pamoja na Waziri Mwakyembe.
 Waziri Mwakyembe akitoa hotuba ya ufunguzi wa mashindano hayo. Pembeni ni Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT) Said Kiganja.
 Waziri Mwakyembe akiongea na wanafunzi waliohudhuria.
Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Kagera,Mhandisi Richard Ruyango akiongea wakati wa hafla hiyo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...