Pages

April 11, 2018

BONGO MOVIE KUIBUA VIPAJI VIPYA NA KUHUBIRI AMANI, UPENDO NA UZALENDO TANZANIA


Mwenyekiti wa Uzalendo Kwanza ambaye ni Mratibu wa Tamasha la Iringa ya Kwetu, Kijana Amka tufanye kazi, Steve Nyerere akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuelezea Tamasha la 'Iringa ya Kwetu, Kijana Amka tufanye kazi,' Pembeni (kushoto) ni Msanii Shamsa Ford na kulia ni Msanii Wolper.
Wasanii waliohudhuria utambulisho wa Tamasha la 'Iringa ya Kwetu, Kijana Amka tufanye kazi.
Msanii wa maigizo na filamu nchini, Single Mtambalike maarufu kwa jina la Richie akifafanua machache.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...