Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali
za Mitaa Mhe. Selemani Jaffo (katikati) akikaguakituo cha Kivukoni wakati waziara
yake katika vituo vya mabasi yaendayo haraka,kulia ni Mtendaji Mkuu wa Wakala wa
Mabasi yaendayo haraka(DART) Leonard Lwakatare na Mkurugenzi wa Uendeshaji na Usimamizi wa miundombinu Eng. John
Shauri .
|
No comments:
Post a Comment