Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Kamati ya Ulinzi na Usalama
ya Mkoa wa Dar es Salaam katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius
Nyerere wakati akielekea kupanda ndege kwenda mkoani Arusha kwa ajili ya ziara
ya Kikazi. PICHA NA IKULU
|
No comments:
Post a Comment