Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa
akizindua rasmi barabara ya lami ya kilomita 26 kutoka Uwanja wa Ndege
wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) katika mkoa wa Kilimanjaro hadi
Mererani mkoani Manyara leo Septemba 20, 2017. |
No comments:
Post a Comment