Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kushoto) akimuapisha Dkt,Idris Muslim Hija kuwa Katibu Mkuu wa Ofisi ya
Makamu wa Pili wa Rais,hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu
Mjini Zanzibar,kabla ya Uteuzi huo alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Kusini
Unguja,[Picha na Ikulu.]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kushoto) akimuapisha Bw.Joseph Abdalla Meza kuwa Katibu Mkuu wa Wizara
ya Kilimo,Maliasili,Mifugo na Uvuvi,hafla iliyofanyika katika ukumbi
wa Ikulu Mjini Zanzibar,kabla ya Uteuzi huo alikuwa Katibu Mkuu wa
Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais,[Picha na Ikulu.]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kushoto) akimuapisha Bw.Juma Ali Juma kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya
Biashara,Viwanda na Masoko,hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu
Mjini Zanzibar,kabla ya Uteuzi huo alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya
Kilimo,Maliasili,Mifugo na Uvuvi
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kushoto) akimuapisha Bw.Bakari Haji Bakari kuwa Katibu Mtendaji wa
Bazara la Biashara la Zanzibar hafla iliyofanyika katika ukumbi wa
Ikulu Mjini Zanzibar,kabla ya Uteuzi huo alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara
ya Biashara,Viwanda na Masoko,[Picha na Ikulu.] .
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kushoto) akimuapisha Bw.Ali Khamis Juma kuwa Naibu Katibu Mkuu wa
Wizara ya Biashara,Viwanda na Masoko,hafla iliyofanyika katika
ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,kabla ya Uteuzi huo alikuwa Naibu Katibu
Wizara ya Fedha na Mipango.Picha na Ikulu.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kushoto) akimuapisha Bw.Iddi Haji Makame kuwa Naibu Katibu Mkuu wa
Wizara ya Fedha na Mipango, hafla iliyofanyika katika ukumbi wa
Ikulu Mjini Zanzibar,[Picha na Ikulu.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kushoto) akimuapisha Bw.Abeid Juma Ali kuwa Mkuu wa Wilaya ya Wete
Pemba katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,kabla
ya uteuzi huo alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini
Pemba[Picha na Ikulu.]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kushoto) akimuapisha Bw.Rashid Hadid Rashid kuwa Mkuu wa Wilaya ya
Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba katika hafla iliyofanyika ukumbi wa
Ikulu Mjini Zanzibar,kabla ya uteuzi huo alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Wete
Mkoa wa Kaskazini Pemba[Picha na Ikulu.]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kushoto) akimuapisha Bibi Salama Mbarouk Khatibu kuwa Mkuu wa Wilaya
yaMicheweni Pemba katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Ikulu Mjini
Zanzibar,kabla ya uteuzi huo alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Chakechake Mkoa
wa Kusini Pemba[Picha na Ikulu.]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kushoto) akimuapisha Kapteni Khatib Khamis Mwadini kuwa Mkuu wa Wilaya
ya Magharibi A.Unguja, hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu
Mjini Zanzibar,[Picha na Ikulu.]
No comments:
Post a Comment