Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mheshimiwa Kassim Majaliwa(kushoto)akipokea mfano wa hundi wenye thamani ya Sh 20 milioni kutoka kwa Meneja wa TIB Corperate Bank Limited tawi la Arusha,Juliana Mwansuva(kulia)ukiwa ni mchango wa benki hiyo kwaajili ya kununua Pikipiki ambazo Waziri Mkuu amezikabidhi leo kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha wanaoshudia kutoka kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo,Mkurugenzi Mkuu wa TIB Corperate Bank,Frank Nyabundege na Waziri wa Maliasili na Utalii,Profesa Jumanne Maghembe. |
No comments:
Post a Comment