Afisa
Mradi, Kitengo cha Kujenga Uwezo kutoka shirika lisilo la Kiserikali la
'The Foundation For Civil Society' Nasim Losai, akizungumza na Vijana
wajasiliamali kutoka Mikoa mbalimbali ya Tanzania walioshiriki Mafunzo
ya Siku tano ya Ujasiliamali, Fursa na Taratibu za kufanya biashara
kuelekea Soko la Jumuiya ya Afrika Mashari. Nasimi alifunga mafunzo hayo
yaliyomalizika juzi Nov 25, 2016 kwenye Hoteli ya Blue Pearl Ubungo
Plaza.
Afisa Mradi, Kitengo cha Kujenga Uwezo kutoka shirika lisilo la
Kiserikali la 'The Foundation For Civil Society' Nasim Losai,
akizungumza na Vijana wajasiliamali kutoka Mikoa mbalimbali ya Tanzania
walioshiriki Mafunzo ya Siku tano ya Ujasiliamali, Fursa na Taratibu za
kufanya biashara kuelekea Soko la Jumuiya ya Afrika Mashari. Nasimi
alifunga mafunzo hayo yaliyomalizika juzi Nov 25, 2016 kwenye Hoteli ya
Blue Pearl Ubungo Plaza.
Afisa Mradi, Kitengo cha Kujenga Uwezo kutoka shirika lisilo la
Kiserikali la 'The Foundation For Civil Society' Nasim Losai,
akizungumza na Vijana wajasiliamali kutoka Mikoa mbalimbali ya Tanzania
walioshiriki Mafunzo ya Siku tano ya Ujasiliamali, Fursa na Taratibu za
kufanya biashara kuelekea Soko la Jumuiya ya Afrika Mashari. Nasimi
alifunga mafunzo hayo yaliyomalizika juzi Nov 25, 2016 kwenye Hoteli ya
Blue Pearl Ubungo Plaza.
Afisa Mradi, Kitengo cha Kujenga Uwezo kutoka shirika lisilo la
Kiserikali la 'The Foundation For Civil Society' Nasim Losai, akifurahia
na Vijana hao wakati wakiimba wimbo maalum.
Afisa Mradi, Kitengo cha Kujenga Uwezo kutoka shirika lisilo la
Kiserikali la 'The Foundation For Civil Society' Nasim Losai, akifurahia
na Vijana hao wakati wakiimba wimbo maalum.
''Sasa Mafunzo yamefungwa rasmi'' .......
Waratibu wakiweka mabo sawa wakati wa kufunga mafunzo hayo.
Vijana wakijaza Fomu za Mpango kazi baada ya kumalizika mafunzo hayo.
Mkufunzi Peninah akiwaelekeza baadhi ya Vijana kujaza Fomu za Mpango kazi baada ya kumalizika mafunzo hayo.
Vijana wakijaza Fomu za Mpango kazi baada ya kumalizika mafunzo hayo.
Vijana wakielekezana kujaza Fomu za Mpango kazi baada ya kumalizika mafunzo hayo.
Vijana wakijaza Fomu za Mpango kazi baada ya kumalizika mafunzo hayo.
Vijana wakijaza Fomu za Mpango kazi baada ya kumalizika mafunzo hayo.
Vijana wakijaza Fomu za Mpango kazi baada ya kumalizika mafunzo hayo.
Vijana wakijaza Fomu za Mpango kazi baada ya kumalizika mafunzo hayo.
Vijana
wakijaza Fomu za Mpango kazi baada ya kumalizika mafunzo hayo. Ila
wengine walikuwawakipiga chabo kama Class wakati wa Mtihani
mwananguuuuuu........
Vijana wakijaza Fomu za Mpango kazi baada ya kumalizika mafunzo hayo.


















Post a Comment