Bwana
Harusi, Richard Jeremiah Gwapulukwa (kushoto) wa Kasamwa mkoani Geita,
amefunga ndoa na Happness Daniel Kulola (kulia) ambae ni binti wa
Mchungaji Dkt.Daniel Moses Kulola wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya lililopo
Sabasaba Ilemela Jijini Mwanza.
Ndoa imefungwa katika Kanisa hilo hii leo na Mchungaji Paul Thomas Bagaka ambae pia ni msajili wa ndoa Manispaa ya Ilemela. Hafla ya ndoa hiyo inafanyika katika Ukumbi wa New Sun City Hotel Jijini Mwanza.
Na BMG
Maharusi wakiingia Kanisani kwa ajili ya Kufunga ndoa leo mchana
Maharusi wakiingia Kanisani kwa ajili ya Kufunga ndoa leo mchana
Maharusi wakisalimia. Pembeni ni wasimamizi/wapambe wao
Mchungaji
Paul Thomas Bagaka ambae pia ni msajili wa ndoa Manispaa ya Ilemela,
akitoa somo la ndoa kabla ya kuwafungisha maharusi ndoa
Mchungaji Paul Thomas Bagaka ambae pia ni msajili wa ndoa Manispaa ya Ilemela, wakiwafungisha maharusi ndoa
Bwana harusi akimvalisha bibi harusi pete ya ndoa
Bibi harusi akimvalisha bwana harusi pete ya ndoa
Maharusi wakiombewa na viongozi wa dini pamoja na wazazi
Maharusi pamoja na wasimamizi/wapambe wao
Kutoka
kulia ni Mchungaji wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya, Dkt.Daniel Moses
Kulola, Mama Mchungaji, Mercy Daniel Kulola, Mama mzazi na mchungaji na
viongozi wa kanisa.
Brighters wakiingia ukumbini
Ndoa ilishuhudiwa na ndugu, jamaa na marafiki wakiwemo waumini wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya.

Post a Comment