Pages

June 1, 2016

YALIYOJIRI KWENYE KIKAO CHA 33 CHA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

  Baadhi ya mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao nchini Tanzania wakielekea ndani ya Ukumbi wa Bunge kusikiliza Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Waziri wa Elimu,
Sayansi na Mafunzo ya Ufundi Prof. Joyce Ndalichako akisalimiana na Mbunge waAfrika Mashariki Mhe. Shy-Rose Bhanji nje ya Ukumbi wa Bunge  mjini Dodoma.
Mbunge wa Mafinga Mjini Mhe. Cosato Chumi akichangia kuhusu Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki iliyowasilishwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Augustine Mahiga  mjini Dodoma.
Baadhi ya Mawaziri wakifuatilia michango mbalimbali ya wabunge wakati wa mjadala wa Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki iliyowasilishwa  mjini Dodoma.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Lukuvu akizungumza na Mbunge wa jimbo la Iringa Mjini Mh. Peter Msigwa mara baada ya kikao cha bunge kuahirishwa mchana , Kushoto anayecheka  ni Mh. Balozi Augustino Mahiga Waziri wa Mambo ya Nje Ushirikiano wa Afrika Mashariki Kikanda na Kimataifa.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...