Pages

November 3, 2015

TB Joshua wa Nigeria amekuja Tanzania kwa ajili ya Dk. Magufuli..

Zimebaki saa chache kushuhudia tukio la kuapishwa kwa Rais mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, siku ya tukio hilo itakuwa tarehe 05 November 2015, Dar es salaam.
Zimenifikia picha pamoja na taarifa kutoka Ikulu kuhusu ujio wa Mhubiri wa Kanisa la Church of All Nations  lililopo Nigeria, TB Joshua ambaye tayari ametua Dar.
TB Joshua amekuja kama mmoja ya wageni watakaoshuhudia tukio hilo la kuapishwa kwa Rais wa awamu ya tano wa Tanzania.
IMG-20151103-WA0010
TB Joshua akiwa ameongozana na Dk. John Pombe Magufuli, Rais mteule aliyeshinda Uchaguzi Mkuu Tanzania baada ya kutua Uwanja wa Ndege Dar es Salaam.
IMG-20151103-WA0012
.
unnamed
Rais Kikwete na TB Joshua.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...