Pages

October 30, 2015

SAFU MPYA NISHATI NA MADINI


 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Paul Masanja (kulia) akipokea shada la maua kutoka kwa Cecilia Mrope Afisa kutoka Wizara ya Nishati na Madini.
 Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi (kulia), akibadilishana Nyaraka za Makabidhiano na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omari Chambo (Kushoto). Maswi ameteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara.
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omari Chambo (Kushoto), akisaini Nyaraka za Makabidhiano sambamba na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi ambaye ameteuliwa kuwa Katibu Tawala Mkoa wa Manyara.
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omari Chambo (kulia) akipokea Shada la maua kutoka kwa Mary Mkwaya Afisa kutoka Wizara ya Nishati na Madini, mara baada yakuwasili wizarani. Wanaoshuhudia nyuma ni Naibu Katibu Mkuu, Mhandisi Paul Masanja na Mkurugenzi wa Utawalana RasilimaliWatu, Mrimia Mchomvu.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...